Sunday 26 May 2013

WAPANDA PIKIPIKI WAKABIDHIWA VYETI

Mkuu wa mkoa wa Kagera
Katika hali ya kufurahisha na yakutia moyo Mkuu wa mkoa wa Kagera Kanali mstahafu Masawae atenga gugango kwa kishindo huku akija na kauli mbiu ya Bugango na amani upendo na maendeleo akiyazungumza hayo katika mahafali ya kuhitimu kwa wapanda pikipiki wapatao 130 waliojitokeza katika mafuzo ya taklibani ya yasio pungua wiki moja na ushwee mkuu wa mkoa alilipuka kwa furaha na kusema hajawahi kuona eneo lililopendelewa na mungu kamahili la Bugango, Kakunyu, Bubale. kwani kilaeneo ni lakijani akasisitiza kwa kusema yakuwa hatamfumbia macho mtu yeyote MWANGO, MFITINI, NA MVURUGAJI WA AMANI.......Kihaya wauita URUGAMBO, BISHUBA, OMUNWA..........alisisitiza yakuwa mambo hayo yanarudisha nyuma maendeleo ya mkoa wa Kagera... asisitiza wananchi wa kagura kupambana na kilimo kwani maendeleo ya kilimo hayawezi kupatikana bila juhudi na maalifa, na kuwaagiza maafisa ugani wa eneo hili kupambana na magonjwa ya mnyauko ambayo huenda yakawa yame vanmia kijiji hiki cha Tarafa ya Kakunyu......

alitoa pongezi nyingi kwa wahitimu ya mafunzo hayo ya pikipiki na kutoa pongezi kwa wakufungi wa mafunzo hayo na kusema yakuwa juhudi zote hiza za kufanikisha mafunzo haya pia yanatokana na msaada mkubwa wa wakina mama ambao ndiyo nguzo muhimu wa kijiji hiki.....

No comments:

Post a Comment