Sunday 26 May 2013

DIWANI KAKUNYU-aridhishwa na utafutwaji maji kijijini

DIWANI -MTAALAM WA MAJI
 Kijiji cha Bugango yasakwa chanzo cha maji ya kina kirefu Idara ya Uhamiaji yapongezwa kwa juhudi zake za kukiwekea kituo hiche cha uhamiaji Bugango Maji ya kisima cha kina kirefu kijijini hapo Diwani wa Kata ya Kakunyu afurahishwa kwa jitihada za Idara hiyo na kusema "kama kweli maji yatapatikana basi kijiji hiki kitaondokana ns shida ya maji ....Diwana Richard Bekomize akimpongeza mtaalamu wa uchimbaji wa visima vya umbali mrefu na kuahidiwa yakuwa lazima maji yapatikane hapa.....
MTAALAM WA MAJI-BUGANGO





Mtaalamu wa maji akipima uwepo wa maji katika eneo hili na kudai yakuwa maji yapo bora tupate vipimo vilivyo sahihi na kusema vipimo vyetu ni vyakisasa na msiwe na wasisi kwani shughuli hizi ni za kitaalam tuu

No comments:

Post a Comment