Wednesday 22 May 2013

Mtoto anahaki ya kupelekwa kliniki

kijana Hakizimana
Kijana Hakizimana na mwanawe ni mfano wa kuigwa na vijana wengine huu ni ushahidi tosha yakuwa kunabadhi ya vijana wamekuwa wasikivu baada ya serikali kutamka yakuwa mwanamke anapaswa kusaidiwa baadhi ya majikumu ya kifamilia

kijanahuyu akiwa njiani akielekea Hspitali kuhudhulia Klinika akimsaidia mkewake ambae kwasiku ya leo mama wa mtoto huyu akiendelea na majukumu mengine ya nyumbani ,

anadai yakuwa imekuwa ni tabia yake kumsaidia mkewake katika shunghuli za nyumbani kwa mfano za kupika, kufua, kuogesha watoto kulima nk.

Baba huyu ni wakuigwa na wazazi wengine kwani ulezi wa mtoto unatokea katika upendo wadhati kati ya bwana na mke alitamba kwa kusema yakuwa tayari ameshakuwa na watoto watatu na wote anawapenda kwa dhati....akiniaga alisema kaka ngoja niwahi kwasababu siku yaleo kunadarasa hapo hospitali  tunafundishwa la  malezi bora na familia kwaheri kaka ya kuonana..

No comments:

Post a Comment