Saturday 25 May 2013

PAMBANA NA WAGENI WASIO RASMI

 HIVI UNAJUA NI JIKUMU LANANI LA KUPAMBANA NA WAGENI WASIO RASMI TANZANIA? 

Kiujumla mwenye jukumu la kupambana na wageni wasio Rasmi ni jukumu letu sisi sote tangu vyombo vya ulinzi na usalama viongozi wa vjiji, vitongoji, hadi, katika kaya zetu .....nalisema hili kwasababu kumehuwepo na wageni wasio rasmi wengi wanaovuka mipaka na kuingia nchini kiuficho huku wakujua au wakiwa hawajui kutenda hivyo ni kosa

kushindwa kufuata sheria au kupuuzia kufata sheria za Uhamiaji za kuingia ua kutoka nchini na kuripoti katika Ofisi za uhamiaji za nchi husika na kupata huduma za kiuhamiaji kwa kujaziwa Fomu za uingiaji ama za utokaja nchi husika kufanya hivi kingeweza kukusaidia wewe kutojiingiza katika wimbi la wageni wasio Rasmi ambalo limekuwa donda ndugu katika mataifa mbali mbali duniani unafahami vyazo vya kukidhili kwa tatizo hili la wahamiaji wasio Rasmi ni vipi?........

  • Utimizaji wa ndoto za kuishi maisha bora katika maeneo yanchi hisika yaliyo pelekea kwa huyu mtu kuwa mhamiaji asie rasmi.
  • uvamizi wa umakusudi wamaeneo yenye rutuka kutoka nchi moja na kwenda nchi tofauti na ya kwako ya awali.
  • tatizo la ukimbizi.
  • tatila kutojua sheria za nchi moja kwenda nchi husika.
  • matatizo ya kiharifu mhalifu kufanya uhalifu sehemi moja na kuamua kukimbilia sehemu ya nchi ya pili kufanya maficho ili asi bainike.
  • uendeshaji vitendo haramu vikiwemo, ukataji miti mapolini, uwindaji wanyama kwenye hifazi za taifa, uchimbaji madini hovyo bili kufuata taratibu, Ukataji mbao na usafirishaji nje yanchi kihorela, utafutaji kazi bila kufuata kanini taratibu sheria za utumishi wauma......nk

>sasa ni nini cha kufanya ili kupambana na haya yote?
 kimtizamo ni kukata kendelea kuwaficha au kwapa ushirikiano kuwafadhili, au kuwawezesha kukamilisha malengo au ndoto zao..

Madhara yao hawa wahamiaji wasio rasmi ni kuliweka taifa letu rehani kwa kuchaguliwa viongozi wasio wazarendo walio na uchu wa madaraka, mali, na wasio penda maendeleo hivyo wakati umefika wa kusema Wageni wasio rasmi sasa basi na kililinda taifa letu. kwa Upendo na amani .....

1 comment: