Thursday 23 May 2013

Kyaka...Wilaya ya missenyi

Mabaki ya kanisa-"Kyaka"
 > Historia ya ya mabaki ya kanisa hili inarudi nyuma na kutoa tashwira ya uharibifu uliotendwa katika vita vya Nduli Iddi aman Dada,

alidai yakuwa sehemu ya Tanzania ni sehemu ya yanchi ya Uganda na si kwingine bali kwenye mto wa kagera yakuwa ndiyo mpaka baina ya nchi hizo mbili,

Majesi ya Tanzania yenye nidhami ya hali ya juu yalipambana kwa ari kubwa na kuirudisha sehemu ya Tanzania mikononi mwao pia majeshi hayo yalihakikisha Nduli hoyo kutoka katika ramani ya Afrika mashariki na yakati nikweli Nduli Iddi Amini dada alikimbilia    Uarabuni hali hii ilitoa funzo kwa mataifa yote kuwa taifa lenye amani na upendo linauwezo wa kufanya maajabu likijipanga  kimadhubuti kwani Watanzania walikuwa na kila sababu za kumpiga, Nia ya kumpiga walikuwa nayo, na hata uwezo wa kumpiga ulikuwepo......siliyake ulikuwa ni ushindi..

Daraja lenye Hostoria-Tz
>Daraja la Kyaka ni kivutio kikubwa kwa wapita njia kwani historia yake ni kubwa kwa vile darajahili lilikuwa eneo kubwa lililotegemewa kuleta Ushindi kwa majeshi ya Iddi Amini mbinu zilizo tumika hadi kumdhibiti Nduli huyo mimi sinti sema tuiachie historia ishike nafasi yake.
Barabara-Kyaka to Mtukura

.....Barabara itokayo Bukoba hadi Mtukura kwa sasa ni salama imejengwa kwa kiwango cha lami biashara baina ya Tanzania na Uganda yaimarika na ishirikiano wa nchihizi mbili ni wadhati emungu ijalie Tanzania iwe na amani na Maendeleo Amin.

No comments:

Post a Comment