Wednesday 22 May 2013

Rais wa Marekani Kutembelea Tanzania





Rais wa Tanzania





Rais wa Marekani
Ziara ya Rais wa Marekani Obama kutembelea nchi ya Tanzania inatupa moyo sisi watanzania kwa taifa kubwa kama hili kutudhamini na kuwa na matembezi ya mara kwa mara na si tuu kwa Raisi Obama tuu bali huu umekuwa ni utamaduni wa viongozi wa Marekani kuwa na mahusiano na nchi yetu ya Tanzania kututembelea katika ziara zao za ki serikali lakini si hilo tuu bali katika sekta zote kwa mfano
 Katika masuala ya Kibiashara……….Kielimu………..Kisiasa ndiguzetu hawa wamekuwa mstari wa mbele katika ushirikiano hata hivyo maraisi wa  Marekeni tangu George Bush Klinton….na wengineo wote walikuwa mstari wa mbele katika kuuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Marekeni katika mtazamo huu ni vyema sisi Watanzania kusimama kidete katika kuuimarisha ushirikiano huu  sihilo tuu pia katika kuukaribisha ugeni huu ni vyema kushirikiana na kushikamana kuukaribisha ugeni huu mkubwa na kwa vyama vyote vya siasa itakuwa jambo la busara tuka shikamana hadi dakika ya mwisha kwa kuulinda umoja wetu, amani, na usalama wa wageni wetu hawa watakao kuja kuitembelea nchi yetu ya Tanzania…..Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika….

No comments:

Post a Comment