Saturday 25 May 2013

SIKU YA SABATO

SABATO
Siku ya leo ni alfajiri ya ajabu najisikia mwenye nguvu na nilie jaa bashasha mwenye amani rohoni mwangu na siku hii ya yumapili nime shawishika kuingia tena katika nyumba ya bwana leo siku ya sabato kuyakumbuka na kuyafuta yote yaliyo ugubika moyo wangu na kusababisha moyo wangu kuwa mzito wa kuikumbuka nyumba ya bwana .....najikuta katikati ya waumini wa kikristu na nitayari nimo ndani ya kanisa huku nikiwa nimepiga magoti katika eneo nililo lichagua mimi mwenyewe lakini sinta mtendea haki molawangu alie nipa ujasili na kunikumbusha kurudi katika kundi la wanakondoo waasi wa kanisa huenda yeye ndiye aliye nichagilia nikae katika eneo lile .......najikuta nikikumbuka kupiga alama ya msalaba na kutamka kwajina la baba, la mwana laroho mtakatisu amina.....nikaendelea kujiongoza katika sala ya toba mimi mwenyewe.....nikaendelea tena ....kusali sala maarufu ya kikristu ya kumtukuza mama yetu sala ya salamu mama malia hadi nikaimaliza isitoshe nikaendelea kwa kusali kwa sala ya Baba yetu uliyembinguni....nilipo maliza ....nilifurahi sana na kujisikia moyo wangu wenye amani katika ukristu nanilijipongeza kwa kusema Amin 

kukumbuka kwangu kanisa sikwamba mimi ni mtumwa wa dhambi bali nilishindwa kujipangia siku zangu kiusahihi kiasi nilijikuta nimetingwa na mambo ambayo mabo mengine hayana maana katika dunia hii mbayo bwana wetu yesu kristu alitukomboa kwa shida kubwa hadi kuteswa msarabani na kupoteza maisha yake kwa ajili yetu sisi hivyo tunapaswa sisi kuliona au kuona utukufu wa bwana unavyo yafanya miujiza yake mbele ya hekaru la bwana yesu kristu......naomba kuitukuza siku ya bwana na kusema amin.NA MBALIKIWE SANA..

No comments:

Post a Comment