Thursday 23 May 2013

huu si utamaduni wa Kitanzania

uchukuaji sheria mikononi-(mtwara)
> kwakweli mimi sipendi kuonyesha picha hizi kama ni mshabiki wa mpira baina Baselona, au Asenal..bali nikutaka kujia hivi nikipi kitakachi tokea baadae kwani huu utamaduni huu si Wakitanzania bali ni dalili za kujisahau kwani amani tulio kuwa nayo ni kitu adimu sana na huenda kikipotea basi kirudi kitakuwa ni kazi ngumu sana kurudi hebu tutazame mfano huu wa" MAJI YAKIMWAGIKA CHINI SI RAHISI TENA KUZOLEKA" au " TUTAZAME MFANO WA MAZIWA YAKIMWAGIKA CHINI HAYO HAYATAKUWA MAZIWA BORA"

Hivi ninani wa kulaumiwa kwa uharibifu huu wa mali za serikali na za watu binafsi na ninani atakae lipa fidia hii ya mali za wananchi wa Tanzania wasio na hatia

wanajeshi

>Ofisi za serikali ambazo ni mali za wavuja jasho na ni kodi zetu sisi wananchi tunazo katwa kila mwezi hususani kila mwezi tunashindwa hata kuwapeleka shule kutokana na makato makubwa ya kodi na hivi leo mali hizio zina angamizwa kwa ari mpya na kasi ya ajabu kwakweli hii si sawa utamaduni wa Watanzania ni wa kushindana kwa hoja na la si kamtutu wa bubunduki nalisema hili kwasababi wahusika wa kutukia mtutu wa bunduki wapo pembeni wakitukodolea macho huku waktitroti wakisubiri amirijeshi wetu mkuu kuchoshwa na haya tuyatendayo sisi raia

No comments:

Post a Comment