Saturday 25 May 2013

Bugando -Border


Watoto wa shule ya byakateba watembelea Ofisi ya Uhamiaji Bugango Bolder wafurahia kupiga picha ya pamoja wadai wangependa kuwa maaskali mara wamalizapo shule kufikia elimu ya juu

wasema wangependa kujua mengi kuhusian na shughili zinazo fanywa na Ofisi hii


wasema siku wakiwa wakubwa wangependa kusafiri duniani pote na kujifunza mengi kuhusiana na dunia inavyo kwenda


No comments:

Post a Comment