Thursday 23 May 2013

Ujuo alama ya sura ya mpaka

Jiwe la Mpaka Tz and Ug
Ukitaka kujua mipaka yetu kuwa ni shwali basi akiliyako itakwenda moja kwa moja katika jiwe hili kwani hii ni Bicon N0 31 iliyopo maeneo ya la Mkakoma huu ni ushahidi unao onyesha utaratibu mzuri wa kuuwekea mpaka arama zinazo onekana kwa vizazi navizazi ukaguzi wa maeneo haya ni wa mara kwa mara kuhakikisha alama za mipaka hii haichezewi na mtu yeyote.....

Bocon hii imejengwa kiustadi wa kurundikea kwa mawe yaliyo shikamani na kuunda kilima cha aina yake hii hutoa picha yakuwa hapo ni mwishoni mwa Tanzania na Nimwanzoni mwa Uganda


No comments:

Post a Comment