Saturday 25 May 2013

LAKUVUNDA HALINA UBANI..

Hadithi ya lakuvunda halina ubani lengo la kusema hivi ninamaana yakuwa kwanza kabisa maana ya maneno haya mawili yanaendana lakini jee kama hayaendani yamnapaswa yaweje tukichukulia nono hili la lakuvunda

 peke yake lina maanicha kitu kilicho vunda, ama kitu kilicho haribika kwamfano kuku alie kufa na kukaa kwa muda furani huharibika hapa utaona yakuwa kavunda na kuanza kutoa harufu mbaya.....ndivyo hivyo hivyo ya kuwa Halina hapa pana maana yakua kisicho hatia hakuna kitu.....tukimalizia kusema

ubani hapa pana maana yakuwa yakuwa harufu nzuri harufu kwamfano ya udi au manukato mazuri kitu kinacho vutia puani chenye kusafisha hewa iwe na manukato......

Lakuvunda halina ubani : katika hadidhi hii nimependa kulitumia kama neno la heshima firani kwa muhusika furani sasa nikiwa na maani yakuwa kitu kilicho haribika au kilicho oza lazima kiwe na harufu ya uozo lakini hiki nilimaanisha lengo ziri yakuwa kilichooza lazima kiwe na harufu lakini hapa namaanisha yakuwa japo kitu kulichooza lazima kiwe na harufu mbaya lakini hiki hakina harufu ....

Lengo na nia ni kuiambia yakuwa unapofanya jambo zuri au baya lazima litaenziwa kama lilivyo na litapendeza machoni mwa watu au lita kirihisha Tendo ni laaina moja lakini kinacho tazamwa ni mantiki ya jambo hilo katika jamii....'mtu furana kacheza mpira kiumaili na kupatia goli wahasika wapenzi wa timu ile washabiki watamsifia kwa kusema fulani bwana mwanaharamu sana kaucheza mpira ule kiumahili hadi kutupatia gori'.....lakini tafsiri hii ukiitumia tofauti italeta maana tofauti umekunywa mapombe yako na kumiminika matusi kisa mashabiki wampira mbona wana yatumia maneno hayo machafu uwanjani....hii si sawa kwani sifa yako haita futika utabakia kimuonekano katika jamii kuwa huna maana tofaiti na yule mshabiki aliye tumia lugha chafu katika jamii lakini alikuwa akishabikia masuala ya mpira atabakia kiuelekeo kuwa yeye ni mshabiki bora na mwenye kuupenda mchezo wa mpira wa miguu.....

hivyo nivyena kujua jambo zuri litabaki kuwa zuru maisha....na jambo baya litabakikuwa baya na lenye kukirihisha na halidumu litatupwa jararani kuoza na kusahaurika....

No comments:

Post a Comment