Thursday 23 May 2013

uchukuaji sheria mkononi

Fumanizi
>Kwamasikitiko makubwa napenda kutoa dukuduku langu kuhusiana na utamaduni wa nchi yetu kubadilika badilika kila mara na hasa katika kuuingilia Uhuru wa mahakama hii nipamoja na watu au wananchi kuchukua sheria mkononi na kuviingilia vyombo vya mahakama na vya ulinzi ambao ndiyo wataalamu wa kuvidhibiti vitendo hivyo hususani vya wizi, ujambazi na pia kutoa hukumu kutokana na uzito wa kosa husika .....lakini jamii kosa dogo hitolewa maamuzi mazito hata kugharimu kuutoa uhai wa bina dami ...ona tukio hili la kinyama lililopelekea mpaka watu wazima hawa wakidharirishwa mbele ya hazara na kundi la binadamu wenzao kana nawao hawana makosa  


>Tuone matukikio mengine ambayo yame konga nyoyo za vyombo nya habari Tanzania na wengine wetu wamekuwa wakivishabikia na kuwa kama ni la kwawaida ni pamoja na haya ya ulipuaji wa Makanisa ..kuwauwa watumishi wa kiroho Mapadree, Mashe, isitoshe wananchi kupambana na vyombo vya ulinzi na usalama kwamfano yaliyotokea huko Mtwara, Arusha, Moshi, Mbeya haya yote ni matunda ya kujichukulia sheria mikononi..witowetu kwa sisi wananchi tupendao amani, tunaomba Taasisi za kiroho (kidini),
 wanasiasa, wanazuoni, nk

waanze utamaduni wa kuhubiri  Maendereo, Amani, Upendo, hii iwe ndiyo sara yao kila kukicha kwani huenda hali ikawa mbaya hapo siku za mbeleni ,......wito wetu 'TANZANIA NA AMANI NA MAENDELEO VINAWEZEKANA '

No comments:

Post a Comment