Friday 24 May 2013

MAKAMANDA WA UHAMIAJI WATINGA BUGANGO

KITUO BUGANGO
Makamanda wa Idara ya Uhamiaji watembelea kituo cha Bugango Border na kufurahishwa na mdhali ya eneo hilo la mpakani watembelea eneo lote la kiwanja cha nyumba na Ofisi ya Uhamiaji iliyo nunuliwa na Idara na kusema "Tumepata eneo zuri la tutendea kazi basi ni jukumu letu kulilinda"

pia awaasa wafanyakazi wa serekali kufanyakazi kwa uadirifu kwani wao ni jicho la idara na serekali kwa ujumla apongeza wafanyakazi kwa kuwepo maeneo hayo na kusema fanyeni kazi kwa uadilifu kwani nyinyi ni jicho la Taifa hili


No comments:

Post a Comment