Friday 21 June 2013

UTAFITI MDOGO KUHUSIANA NA VYANZO VYA VURUGU


UTAFITI MDOGO KUHUSIANA NA VYANZO VYA VURUGU ZINAZO
ENDELEA NCHINI TANZANIA…1961…..2013 TO 2015


Naomba kujaribu kuchangia malalamiko ya vitendo vinavyo endelea nchini kweti Tanzania na kusababisha ntafariku wa hali ya juu na kuweka vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi zake katika kipindi kigumu, kiutendaji pia ningependa kukumbushia hali ya wananchi kujichukulia sheria mikonono na kuua watu kwa tuhuma mbalimbali, kwamfano za wizi, ujambazi, uchawi. Nk

Hatikuishia hapo tukaingia kuwashambulua vyombo vya dera kwa mfano ya Police, Wnajeshi, Mgambo, na hata walinzi wa jadi…wakiwemo sungusngu pia kilisiku kukicha ni chuku chuki chuki,

Haya tukaingia masuala ya Kisiasa viongozi wengi wa vyama vya siasi, viongozi wa kidini, watu maarufu, viongozi wa familia, viongozi wa maidara mbali mbali humu nchini tumeona wakidharirishwa, kwa kupigwa, hadi wengine kupoteza uhai wao,
Tazama pia waandishi wa habari wamekuwa ni kero kubwa wawapo kazini kwani utaona kama tuliyo yaona yakitokea lakini yote tuna vilaumu vyombo vya dora kuwa havifanyi kazizao kiumahili kuzuia adha hii.
Hapa tumejaribu kuona katika mambo haya yanalemea wapi na sikwamba tuko kwa ajili ya kutaka kulaumu kwani mcheza kwao hitunzwa kwa mchezo achezao
” NA HUU UTAFITI HAUHUSIANI NA SHIRIKA LOLOTE BALI SISI WALALA HOI TUMEONA PENGENE NDIO CHACHU AU CHANZO CHA HAYA YOTE”
NAANZA KUWEKA KIMIKOA SUGU:
MOROGORO. ARUSHA, KILIMANJARO, MTWARA, LINDI, MARA. MUSOMA, KAGERA, DAR-ES-SALAAM, TABORA. TANGA, MWANZA, MBEYA, IRINGA, ZANGIBAR, PEMBA, PWANI, KIGOMA, SINGIDA

Jedwari hili ni la kubuni
MIKOA
UDINI
UKABILA
SIASA
WAFUGAJI /WAKULIMA
HAKI ZA BIMNADAMU
ASILIMIA
MOROGORO
yah
-
-
yak
yah
15/%
ARUSHA
yah
yah
yah
yah
yah
99/%
KILIMANJARO
yah
yah
yah
yah
yah
99/%
MTWARA
yah
-
yah
-
yah
70/%
LINDI
-
-
-
-
-
0/%
MARA
yah
yah
yah
yah
yah
98/%
SHUNYANGA
yah
yah
yah
yah
yah
45/%
KAGERA
yah
yah
yah
yah
yah
77/%
D’SALAAM
yah
-
yah
-
yah
100/%
TABORA
-
yah
yah
yah
-
30/%
TANGA
yah
-
yah
-
-
50/%
MWANZA
yah
yah
yah
yah
yah
99/%
MBEYA
yah
yah
yah
yah
yah
100/%
IRINGA
yah
yah
yah
yah
yah
60/%
Z’BAR
yah
yah
yah
-
yah
100/%
PEMBA
yah
yah
yah
-
yah
70/%
PWANI
-
-
yah
-
-
03/%
KIGOMA
yah
yah
yah
-
yah
45/%
SIGIDA
-
-
yah
yah
-
30/%




































Ufunguo:
·         Yah…..”upo”
·         -………..”hakuna”
·         %...........asilimia,

Mikoa inayo kidhili kwa matatizo na tunge omba itupiwe macho ni ili yenye pasenti zifuatazo: 100/%...hadi 50/%

Sababa za machafuko:
Ø  Udini,
Ø  Siasa,
Ø  Ukabila,
Ø  Ukiukaji haki za binadamu,
Ø  Migogoro ya wafugaji na wakulima-(arthi)



TUNAOMBA MUNGU ATUONDOLEE MIFARAKANO HII!!!!

No comments:

Post a Comment