Wednesday 5 June 2013

CHAMA KIPYA CHA SIASA CHAPATA USAJILI JANA. ...CHAUMMA

CHAMA KIPYA CHA SIASA CHAPATA USAJILI JANA. 

 

Tendwa akikabidhi cheti cha usajili CHAUMMA
Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini,  John Tendwa (kulia) akizungumza na wana CHAUMMA
Baadhi ya wanachama cha CHAUMMA pamoja na viongozi wao wakishangilia baada ya kupewa usajili
Wanachama wakionesha cheti cha usajili kwa wanahabari
Gari la Mwenyekiti wa muda wa CHAUMMA, Wallance Mayunga likiondoka baada ya hafla ya usajili

Chama kipya cha siasa chapata usajili chama hicho kitajilikana kwa jina la ....CHAUMMA kitaungana navyama vingine vya Tanzania vya Siasa

No comments:

Post a Comment