Sunday 28 April 2013

BENDERA YETU NA MAANA ZAKE

 MAPOLI YA KIJANI:
Tanzania kuna mapoli makubwa na yaliyo wakilishwa na sura ya Bendera yake ya Taifa rangi ya kijani





RANGI YA NJANO:
Inawakirisha Madini yaliyo sheheni ya ndani ya nchi yetu na yanayo wafanya Watanzania kujivunia na kutembea kifua mbele huu ni mtambo unao wakilisha uwepo wa madini na rangi yake ya njano

RANGI YA BLUU:
inawakilisha Mito , Maziwa, Bahari ...yaliyo sheheni samaki wengi na viumbe wengi waliyo ndani ya zawadi hii tiliyo pewa na Mungu wetu Tuulinde utajiri huu.

RANGI NYEUSI:
Inawakilisha watu wake walio kabidhiwa mamlaka hii wa kujivunia kwani bara la Afrika ni mali ya Waafrika ....tuvienzi vitu hivi..zawadi kubwa yuliyo pewa na MOLA

1 comment: