Friday 19 April 2013

kagera sugar...kagera sukari


KAGERA SUGAR-(KAGERA SUKARI)

TUNAPO SEMA:- Kagera Sikari au Kagera sugar ni kampuni ya utengenezaji sukari mkoani kwatu KAGERA…. kwakweli nimepaswa kulisema hili kwakuwa kumekuwepo na dhana ya kuwa mambo mzuri yote yapo mijini… kwakweli usemi huu ulifutwa na marafiki zetu kutoka Australia na mwingine kutoka marekeni ambao walidiriki kusema yakuwa.
 kuwanda hiki cha sikari Tanzania ni hazina ya utajiri iliya jificha katika kiza kinene”  mimi nilifanikiwa kumuuliza kwanini unasema hivi?
   wao wakanijibu “unasikia rafiki ….wewe hujui” kwani nitakueleza na wewe utaamini ….unajua kiwanda hiki kinatumia fedha nyingi katika kuanda sukari tu…  wakacheka na kusema “sukari tuuu” wakaendekea kusema huku wakiwa makini zaidi hiki kiwanda mimi nakuapia ni pesa tupu pesa peesa pesa tupu, alisistiza huku akiashiria kuomba apatiwe kiberiti cha kuwashia sigareti yake….akaanza kutujuza huku… akiiwasha sigareti yake….ona

Unafahami katika mua kunautajiri mwingi sana kwa mfano:-
ü  Muwa:- tuu yale majani yake…..utapata chakula cha wanyama kama vile Ng’ombe, Sungura, farasi, mbuzi, nk. Alisema mmoja wa marafiki hawa alisema,
ü  Molases:-aliemdelea  kusema hii ipo katika aina ya tope zita lenye rangi nyeusi likiandaliwa vizuri lingeweza kutoa spiriti nyingi sana ambayo mngeweza kutengenezea vinywaji vikali ambavyo vinge tengenezwa kitaalamu na vitawaburudisha wananchi, isitoshe pia mahospitarini spiriti hii ingefaa, sasa ona wangepata pesa ningi watakapouza nje ya nchi hivi mnaonaje marafiki sisi tulikaa kimya tukimkodokea macho akaemdelea kusema.
ü  Mbolea:-aliendelea kusema unajua matakataka waliozalishwa na utengenezwaji wa sukari au ya miwa hii ingeweza kusindikwa kwa muda furani hadi yakawa mbolea ambayo yangetumika katika kukuzia mazao ya mashambani na katika bustani zetu za mboga au maua kitu ambachu watu wangegombania na kuwaingizieni fedha nyingi mifukoni mwenu rafiki aliendelea kuelezea.
ü  Gasi:-aliendelea kusema yakuwa hii miwa na uchafu wake ukiuhifadhi kitaaram unaweza kupata gesi nyingi ambayo mngeweza kuitumia katika matinizi yenu kama ya kupikia na hata kuwashia taa katika vijiji vyenu,
ü  Vinywaji:-alisisitiza kwa kusema yakuwa mimi napenda sana kunywa juisi hapa kunaaina nyingi za vinywaji, tangu vya baridi hadi vya moto! Alicheka na kutuomba tumruhusu aendelee na safari yake.

Tulishikwa na butwa tusielewe la kulichangia katika mazungumzo hayo tuliwaaga marfiki zetu hawa na kuendelea na safari yau kurudi kwao….kwakweli mashamba ya Kagera sugar, kimwonekano ni hazina kubwa mkoani kwetu kagera na nikivutio kikubwa sana sana kama hauamini ngojea nikitumie japo picha hizi nawewe uweze kuburudika kama sisi wenzio tunavyo farijika na hazina hii tuliyo nayo huku kwetu Kagea……leo nakuonyesha kwa kiasi tuu sikunyingine nitakuonjesha hata sukari yetu ya Kagera sugar….

No comments:

Post a Comment