Wednesday 24 April 2013

MKUU WA WILAYA MISSENYI ...ASEMA



VIONGOZI WA WILAYA YA MISSENYI
WAMWAGA NEEMA KATA YA KAKUNYU

 
Mkuu wa wilaya ya Missenyi

 
         Katika hali ya kutia moyo na yaneema yadhihirika katika Tarafa ya Kakunyu baada ya viongovi wa wilaya ya Missenyi kutinga katika vijiji hivyo na kujadili kwa kina jinsi ya kuboresha hali ya kilimo ndana ya maeneo pichani ni mkuu wa wilaya Mweshimiwa Nshiku, mwenye nguo ya bluu Kiongozi wa Tarafa ya Kakunyu, mwenye kofia mwenyekiti wa kijiji cha Bugango

NEMA:- Tayari maafisa kulimo na Mifugo wamiminika na kuanza kazi huku  Wakiweka mikakati ya kuinua kilimo Tarafani Kakunyu,

Neema ya mazao ya Mpunga, Alizeti, Kahawa, na masuala ya kilimo cha kitaalamu cha miminika Tarafani humu .
WANANCHI:-wananchi  tarafani hapa wapongeza juhudi zilizo fanywa na uongozi wa missenyi wa kukiboreshea kilimo Tarafani hapa,

MAAFISA UGANI:- Maafisa kilimo hawa wamefurahia sana kwa upokewaji wao Tarafani humu na kuahidi kutoa utaalamu wao kwa kasi zaidi na kubadilisha hali ya kilimo cha kizamani hadi kuwa cha kitaalamu

MAPAMBANO :- Maafisa kilimo waapa kupambana na magonjwa ya mazao kwa mfano wa gonjwa hili la MNYAUKO linali shambulia zao la migomba- wilayani Missenyi watoa

USHAURI:- Uongozi watoa wito kwa wananchi kutoa ushirikiano kwa wataalamu wote walio letwa Tarafani humu ili mafanikio yaweze kuwafikia kwa kasi yenye mafanikio…..




No comments:

Post a Comment