Wednesday 24 April 2013

usafiri wa kwetu...hapa kijijini.

usafiri wa kwetu


swala la usafiri huku kwetu limekuwa na utata kwani mazao yatokanayo na mgomba yamekuwa yakitupa adha kubwa katika kuyasafirisha hivi kutakuwepo na njia gani nyepesi ya kusafirisha mazao yetu na kuyafikisha sokoni wakati masoko yetu yapo mbali na tuzitoapo ndizi zetu ukitaka kujua ukweli wa swala hili nitakukaribisha tuungane katika usafiri wetu huu wa kijijini kwetu ....

No comments:

Post a Comment