Sunday 21 April 2013

Bicon No.30 kijijini kwetu Kirashwa.

Bicon no.30 mpakani mwa Tanzania na Uganda.


ni majuzi tuu nilipokuwa kwenye ziara yangu maeneo ya mpakani mwa Tanzania na Uganda niliona kunakitu ambacho kilicho nifurahisha mimi kukiona kwa macho na si ajabu pia na wewe unge pendezewa aidha kukiona au kukitembelea na kujifinza mengi kuhusiana na hili ni Biconi hii No 30 au 31 mpakani mwa Tanzania na Nchi ya Uganda ....

Mimi nilifika nikakusogelea kichuguu huki chenye kuvutia kilicho tengenezwa kwa mawe mengi yaliyo kuwa na muonekano wa kulima kidoge kulicho egemea mpaka na chenye kuonyesha uimara wenye ushujaa ndani na nje ya mipaka huu wa Tanzania na Uganda......

kama tnakumbuka katika zile enzi za Beli Cimfrens wali tenga mipaka kwahiyo huu ndio uridhi wetu wa Mpaka au Mkuza ...ukiwa unatoa sura ya kitalii huku kwetu maeneo ya kijiji cha  KILASHWA....kijiji kilichopo karibu na Bicon hii...

No comments:

Post a Comment