Sunday 28 April 2013

TEMBO WEUSI KATIKA POLI LA KIMISI


TEMBO WA TANZANIA  
Nchi yetu ya Tanzania tume bahatika sana nau ya ma kujaliwa kwa kutunukiwa na mola wetu kwa kupewa dhahabu ya macho yetu kwa kupewa utajiri usio weza kufutika katika mapaji ya macho yetu endapo sisi wa Tanzania tuta ulinda huu si mwingine bali ni mali asili zetu za nchi hii nazo ni pamoja na mapoli makubwa, Wanyama, Mito mikubwa, Mapango ya kale kama vile Amboni, maziwa, Bahari, Mpori yenye kuvutia...haya yote ni mambo ambayo yanatia nakshi sura ya nchi yeti ya Tanzania....

TEMBO WEUSI:
wanyama hawa wakubwa wanyonyeshao weamekuwa kivutio kikubwa kwa watalii kutoka nje ya nchi lakini kwa masikitiko makubwa wanekuwa wakiwindwa kwa kasi sana na kuangamizwa uhai wao na majangiri au watu wenye tamaa kwa ajili ya tamaa ya kujipatia PEMBE ZA TEMBO HUYU...kwa hiyo uangamizwaji mkuu umekuwa ukifanyika kwa nia ya kujipatia Utajili ....EEE MUNGU WANISURU TEMBO WETU WEUSI......

1 comment:

  1. Napenda kusema yakuwa tembo ni mnyama asie na shida kwa binadamu tuwaenzi tembo wetu.

    ReplyDelete