Sunday 21 April 2013

ZIJUE BAADHI YA PASSPOT ZA TANZANIA


Napenda kukuonyesha hati za kusafiria na kupata kuzitanbua kwakuwa hati hizi ni haki za kila Mtanzania mamlaka yenye haki ya kuzi toa hati hizi ni Idara ya Uhamiaji na kila moja ina mhisu mtu gani anaepaswa kuitumia .......

Passpoti ya Kijani..Passport:- hii hutumika na mtu yeyote ambae ni Raia wa Tanzania mwenye sifa ya kupewa hati hii ya matembezi..na kusafiria dunia nzima,

Passporti hii ya kwanza ya Bluu:- hii hitumika kwa nchi za Afrika Mashariki na husafiria kwa nchi hizo za Afrika mashariki,

Passport hii ya Pili ya Bluu:- ya service au Passpori ya wafanyakazi hitumiwa na wafanyakazi wa ngazi furari za juu ili kuweza kusafiri safari za kikazi..duniani,

Ya mwisho Diplomatic Passport:- passpoti hii ni maalum kwa viongozi wa serekali na ni ya upendeleo kwa watu maalimu kwa mfano wabunge, mawazili mabarozi nk..
NIVYEMA KUZITAMBUA HATI HIZI:



No comments:

Post a Comment