Saturday 20 April 2013

NENO NGARA MAANAYAKE...

Mingara
Poli la kimisi lipo mpakani mwa wilaya ya karagwe ukielekea wilaya ya Ngara kabla ya kufika njia panda ielekeayo Ngara, na mpakani mwa Tanzania na Rwanda-Rusumo, utakutana na njia panda ya Benako hapo utakuwa umeingia walaya ya Ngara njia huu ya benako kuelekea Rwanda inapirika pirika nyingi za ujenzi wa taifa utakutana na magari mengi ya mizigo abiria, na hata ya binafsi yanayo ingia na kutoka Ngara kuelekea Rusumo au yanayotokea Rusumo kwenda Ngara.......lakini kwanini nimependa kisemea hili? mimi binafsi nimevutiwa sana na Hadithi hii ya wenyeji wa Wilaya hii ya Ngara ambao walinihabarisha kuhisiana na Neno hili la mji huu wa Ngara kumbe lina maana ya mti mmoja unao onekana katika Wilaya hii ya Ngara mti huu unahesimiwa sana wenyeji wa wilaya hii wajulikanao kwa kabila la, wahangaza na si mwingine bari ni Mngara huu mti una matawi yaliyo jiachia kama mwamviri na yenye majani madogo madogo yanayo onyesa sura nzuri ya mti huu uliotoa jina la wilaya hii ya Ngara.....ukitaka kujua mengi Tembelea Ngara ujionee....


Barabara inayokatisha pori la kimisi mbele kidogo upande wa kilia kama unaelekea Ngara utaliona ziwa chamchuzi ziwahili linapakana na nchi ya Rwanda,
Pori la kimisi
hapo ukiambaa na mpaka wetu huu utakutana
na maporomoko ya maji eneo la RUSUMO.
au Rusumo foll's.....hapa najaribu kukupa picha na kutaka kuku habarisha chanzo cha Mto Kagera
ulipo patia jina hili ni mkoana Kagera..makutano haya utayapatia Katika daraja linalo unganisha,
nchi ya Rwanda na Tanzania pale pana maporomoko sasa muungano wa Mto Ruvuvu, Na Akanyaru....Mto Ruzvuvu mto huu unatokea Nchini Burundi Kupitia pembeni kidogo na Kabanga na Rulenge....Mto Akanyaru hutukea ndani ya Rwanda na yete miwali inakuja kukutana maeneo ya Rusumo ....na kuangukia darajani Rusumo mbelekidogo tuu mto huu hubadilika jina na kuitwa Mto kagera .....mto huu maji yake hubadirika rangi na nikutokana na yanaku tokea mvua zikunyesha Rwanda Akanyaru unaleta maji mekundu......Mvua zikinyesha Burundi Ruvuvu utaleta maji meusi haya ndiyo maajabu ya mto kagera yanapo tokea....njooo ijioneee.

No comments:

Post a Comment