Wednesday 24 April 2013

UJENZI WA MNADA WA NG'OMBE KAKUNYU

Mnada wa kakunyu



 Pongezi za miminika kwa wananchi wa Kakunyu wasifiwa kuhusiana na nguvukali iliyofanyika katika ujenzi wa jengo la kuuziaji mifugo la kisasa lililojengwa kwa nguvu za wananchi wa Katahiyo huu ni sehemi ya jengo hilo






kiujumla wananchi wa Katahiyo wamejipongeza kutokana na ushirikiano wao mkuu katika eneo hilo kuwa ni wa ukombozi kwa wanakijiji hiki
Mnada  Mpya ..Kakunyu



Makaribisho kwa wafugaji katika eneo hili la lyabatura na Kakunyu kwa ujumla



Viongozi wajijadiriana

No comments:

Post a Comment