Saturday 20 April 2013

MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI...

SIMBA
 Hivi kwenye ukweli kwanini uongo usijitenge huyu bwana ni mfalme wa poli na alipokea sifanyingi sana za kolini na binadamu yakuwa yeye ndiye mfalme wa poli wengine walimwita nikiboko wa njia akivimba hapapitiki au wengine walidai yakuwa hawezi kuzoeleka na kutu chochote na hawezi kuchekewe na kiti chochote.....aaaaaaa! huo ni uongo msemakweli ni mpenzi wa mungu hebu tazama sasa mfalme wa poli akichezewa sharubu na huyu simba jike kwahiyo ile dhana yakuwa huyu bwana ni kuboko ya wote ni uongao nayeye ana kiboko yake .....na hawezi kufurukuta katika mahusiano haya yaliyo pangwa na mungu ....hatamimi na wewe hakuna awezae kujua dhana hii imepeperushiwa wapi kati wa hahasimu hawa wawili kwakweli ajuaye ni mola tuu kwa kweli fumbo hili ni lazima tumuachie mungu hivyo nivyema tumjiue mungu kwania yeye ndiye mfumbuzi wa yote
KIBOKO

Sasa ona mwanadamu alivyo kuwa mnafiki ni muda mchache alikiri yakuwa simba ni kiboka wa yote hivi kwa hili ni nani wa kupongezwa yakuwa ni msema ukweli sasa kiboko ni mnyama mpole sana na ameamua kumfungia kazi mwanadami na kumwonyesha nayeye anayawezi...".KWAKWELI YOTE YANAWEZEKANA MBELE YA MUNGU"

1 comment:

  1. Kwakweli ubalikiwa kama umelijua hili Mi mungu tuu wa kuogopewa....

    ReplyDelete