Sunday 21 April 2013

Viongozi walioongoza idara ya Uhamiaji -1961 ...2013

 Hama tunavyo jionea ramani yetu ta Tanzania na viongozi wake walio hudimia idara ya Uhamiaji Tanzania ni kama wafuatao:-kuanzia mwaka 1969 hadi 1993

(1)....Mh.Raphael Kubaga... mwaka 1969 hadi 1983
Afisa Uhamiaji Mkuu,

(2)....Mh.Mbwana Mohamedi Bakari ...mwaka 1983 hadi 1989
Mkurugenzi wa Uhamiaji

(3)....Mh.Ali A Mnyika.... mwaka 1989 hadi 1993
                                                   Mkurugenzi wa Uhamiaji
hawa ni viongozi wa kwanza katika idara ya Uhamiaji na ndiyo walio ichukua idara na kuwa kabidhi viongozi wenzao waliotuleta hadi hivileo....


(1)....Mh:Judith Mtawali Kuanzia ..mwaka 1993 hadi 1997
Mkurugenzi wa Uhamiaji,

(2)...Mh:Kinemo D. Kihomano...Mwaka 1997 hadi 2010
Mkurugenzi wa Uhamiaji,

(3)...Mh.Magnus P. Ulungi...Mwaka 2010.............

nivyema tuwajue na kuwakumbuka kwa kazi yao nzuri walio ifanya mara tu baada ya Uhuru hadi hivileo....Tuna wapongeza sana....................................................................

No comments:

Post a Comment