Miili
ya wanajeshi saba wa jeshi la Umoja wa Afrika raia wa Tanzania ambao
waliuawa kufuatia shambulio huko Darfur inatarajiwa kuwasili leo jijini
Dar es salaam tayari kwa taratibu za mazishi.
Katika taarifa yake akiwa Heague Fatou Bensuda amekumbusha pande zote zenye mgogoro kufahamu kuwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ina mamlaka jimboni Darfur.
Hivi karibuni wanajeshi walinda amani saba raia wa Tanzania waliuawa na wengine kumi na saba kujeruhiwa baada ya shambulizi kutekelezwa na kundi ambalo halijafahamika huko Darfur mnamo tarehe 13 mwezi Julai.
"TUNAWAOMBEA KWA MOLA MILI YA WANAJESHI
WETU ILAZWE MAHALI PEMA PEPONI "
No comments:
Post a Comment