Waislamu watakiwa kuenzi maadili ya dini wakati wote
Chalinze. Wananchi katika Kata ya Vigwaza wilayani Bagamoyo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZLcnoS2zyiy5D53uPCxIrS1Km4tRI7FjTXftQOYSylutrtLoZU-f8hvWipeGwCUVEvtlSXMv159nqjuc0VHVuXsgieRil1NhAwpI3ZQMgwZGd5I820XaKA5JpBwqKifUfeVu3XvxyI2w/s1600/1001109_339892869477206_983682639_a.jpg)
wameaswa kujiheshimu na kuenzi maadili mema ya kidini kwa miezi yote kila mwaka na siyo wakati wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan pekee.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZLcnoS2zyiy5D53uPCxIrS1Km4tRI7FjTXftQOYSylutrtLoZU-f8hvWipeGwCUVEvtlSXMv159nqjuc0VHVuXsgieRil1NhAwpI3ZQMgwZGd5I820XaKA5JpBwqKifUfeVu3XvxyI2w/s1600/1001109_339892869477206_983682639_a.jpg)
wameaswa kujiheshimu na kuenzi maadili mema ya kidini kwa miezi yote kila mwaka na siyo wakati wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan pekee.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOxeNj-Oo0_ImN9K8HLsMW-HsX4Bfv8kntEZQUgChYwVThbtB-7FPIU7MIdZ7kP2ogsVnNiXG5KzMZrgsbG_xlZlebFgc1iXfvnC9HgMhEV4v0kCf9uVwcUC9m0hFrDTRDqGw0YWsKGlI/s1600/61206_693343220682838_657348765_n.jpg)
Rai hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Kijiji cha
Vigwaza wilayani Bagamoyo, Mohsin Bharwani wakati akitoa sadaka ya
vyakula na mafuta ya kupikia kwa wanakijiji wa vitongoji 12 na waumini
wa misikiti 14 wa kata hiyo. Watu hao walipatiwa kilo 7,000 za mchele,
ngano kilo 250 na mafuta ya kupikia lita 300.
No comments:
Post a Comment