Tuesday 17 December 2013

Mangariba 38 wakamatwa Moshi Tanzania.......







SIMBA WA TANZANIA
UKEKETAJI MARUFIKU ..TZ
Mangariba 38 wakamatwa Moshi Tanzania.......

Maafisa wakuu mjini Moshi Tanzania, wamewakamata wanawake 38 waliopatikana wakiwakeketa wasichana katika eneo hilo......

Kwa nini ukeketaji unaendelea katika baadhi ya sehemu Tanzania licha ya kuharamishwa na serikali?

No comments:

Post a Comment