Hama tunavyo jionea ramani yetu ta Tanzania na viongozi wake walio hudimia idara ya Uhamiaji Tanzania ni kama wafuatao:-kuanzia mwaka 1969 hadi 1993
(1)....Mh.Raphael Kubaga... mwaka 1969 hadi 1983
Afisa Uhamiaji Mkuu,
(2)....Mh.Mbwana Mohamedi Bakari ...mwaka 1983 hadi 1989
Mkurugenzi wa Uhamiaji
(3)....Mh.Ali A Mnyika.... mwaka 1989 hadi 1993
Mkurugenzi wa Uhamiaji
hawa ni viongozi wa kwanza katika idara ya Uhamiaji na ndiyo walio ichukua idara na kuwa kabidhi viongozi wenzao waliotuleta hadi hivileo....
(1)....Mh:Judith Mtawali Kuanzia ..mwaka 1993 hadi 1997
Mkurugenzi wa Uhamiaji,
(2)...Mh:Kinemo D. Kihomano...Mwaka 1997 hadi 2010
Mkurugenzi wa Uhamiaji,
(3)...Mh.Magnus P. Ulungi...Mwaka 2010.............
nivyema tuwajue na kuwakumbuka kwa kazi yao nzuri walio ifanya mara tu baada ya Uhuru hadi hivileo....Tuna wapongeza sana....................................................................
Sunday, 21 April 2013
SENENE...wa mkoani Kagera
![]() |
| MWAE ziwani victoria |
KEREBE: na mialo ya mji huu wa Bukoba ni mazalio makubwa wa panzi hawa maarufu wajulikanao kwa jina la SENENE senene ni aina ya panzi wanao kuja kwa msimu wa majira ya mvua zinazo nyesha humu mkoani kwaetu Bukoba na kagera kiujumla panzi hawa wamekuwa wakipewa hesima kubwa kwa wenyeji hawa wa mkoa huu wa kagera wameweza kutumika kama zawadi kutoka kwa Mungu na wamekuwa wakitumika kwa kutumiana aidha kwa watu wapenda nao kuonyesha hali ya kukuthamini wewe utumiwao...zawadi hii hufungwa katika majani ya migomba ilio andaliwa vizuri na yenye kutoa mvito kwa utumuwae.
SENENE: mara watakapo pokelewa kwa mtumiwae na yeye alie kabidhiwa atapaswa kurudisha shukurani kama vile kanga, kitenge na kadharika
BUKOBA: mara senene hao wakamatwapo hutayarishwa kwa kuchemshwa na kuanikwa kwa muda mpaka watakapo kauka na kuhufadhiwa ....lakini kunawengine hutolewa mabawa na kuwekewa viungo mbalimbali ili kuongeza radha kwamfano pilipili, kitunguu/ kitunguu saumu binzari nk. hii ni katika kuongeza radha tuu kiujumla ni burudani tipu huko mkoani kwetu KAGERA njoo ujionee vijimambo vya mkoa huu wa Kagera.
Saturday, 20 April 2013
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI...
![]() |
| SIMBA |
![]() |
| KIBOKO |
Sasa ona mwanadamu alivyo kuwa mnafiki ni muda mchache alikiri yakuwa simba ni kiboka wa yote hivi kwa hili ni nani wa kupongezwa yakuwa ni msema ukweli sasa kiboko ni mnyama mpole sana na ameamua kumfungia kazi mwanadami na kumwonyesha nayeye anayawezi...".KWAKWELI YOTE YANAWEZEKANA MBELE YA MUNGU"
KIJIJINI KWETU....Mandera , Kwamagome....ya Tanga
| ndugu na jamaa -kijijini Mandera |
KIJIJI CHA MANDELA KIPO WAPI? HUKO MKOANI TANGA?
Kakweli kijiji cha Mandera kipo Mkoani Tanga Wilaya ya Handeni kijiji cha Mandera na ukitaka kukikifikia itakibidi utoke mjini Handeni na uwe ukielekea njia ya kwenda Korogwe itakuchukia kati ya dakika 30 au 4
| kijiji cha mandera |
| kijiji cha kwamagome |
...Kijiji cha kwamagome tilipata bahati ya kuku tembelea nako tulipata mapokezi ya kufa mtu tulikula na kunya kwa pamoja na kufurahia ndhari nzuri ya kijijini kwetu kwamagome nikweli " MKUMBUKA KWAO SI MTUMWA"...Nawakaribuisheni kijijini kweti HANDENI......Mjioneee.
NENO NGARA MAANAYAKE...
| Mingara |
Barabara inayokatisha pori la kimisi mbele kidogo upande wa kilia kama unaelekea Ngara utaliona ziwa chamchuzi ziwahili linapakana na nchi ya Rwanda,
| Pori la kimisi |
na maporomoko ya maji eneo la RUSUMO.
au Rusumo foll's.....hapa najaribu kukupa picha na kutaka kuku habarisha chanzo cha Mto Kagera
ulipo patia jina hili ni mkoana Kagera..makutano haya utayapatia Katika daraja linalo unganisha,
nchi ya Rwanda na Tanzania pale pana maporomoko sasa muungano wa Mto Ruvuvu, Na Akanyaru....Mto Ruzvuvu mto huu unatokea Nchini Burundi Kupitia pembeni kidogo na Kabanga na Rulenge....Mto Akanyaru hutukea ndani ya Rwanda na yete miwali inakuja kukutana maeneo ya Rusumo ....na kuangukia darajani Rusumo mbelekidogo tuu mto huu hubadilika jina na kuitwa Mto kagera .....mto huu maji yake hubadirika rangi na nikutokana na yanaku tokea mvua zikunyesha Rwanda Akanyaru unaleta maji mekundu......Mvua zikinyesha Burundi Ruvuvu utaleta maji meusi haya ndiyo maajabu ya mto kagera yanapo tokea....njooo ijioneee.
Friday, 19 April 2013
kagera sugar...kagera sukari
KAGERA SUGAR-(KAGERA SUKARI)
TUNAPO
SEMA:- Kagera Sikari au Kagera sugar ni kampuni ya utengenezaji sukari
mkoani kwatu KAGERA…. kwakweli
nimepaswa kulisema hili kwakuwa kumekuwepo na dhana ya kuwa mambo mzuri yote
yapo mijini… kwakweli usemi huu ulifutwa na marafiki zetu kutoka Australia na
mwingine kutoka marekeni ambao walidiriki kusema yakuwa.
“kuwanda hiki cha sikari Tanzania ni hazina
ya utajiri iliya jificha katika kiza kinene” mimi nilifanikiwa kumuuliza kwanini
unasema hivi?
wao
wakanijibu “unasikia rafiki ….wewe hujui” kwani nitakueleza na wewe
utaamini ….unajua kiwanda hiki kinatumia fedha nyingi katika kuanda sukari tu… wakacheka na kusema “sukari tuuu” wakaendekea
kusema huku wakiwa makini zaidi hiki kiwanda mimi nakuapia ni pesa tupu pesa
peesa pesa tupu, alisistiza huku akiashiria kuomba apatiwe kiberiti cha
kuwashia sigareti yake….akaanza kutujuza huku… akiiwasha sigareti yake….ona
Unafahami
katika mua kunautajiri mwingi sana kwa mfano:-
ü
Muwa:-
tuu yale majani yake…..utapata chakula cha wanyama kama vile Ng’ombe, Sungura,
farasi, mbuzi, nk. Alisema mmoja wa marafiki hawa alisema,
ü
Molases:-aliemdelea
kusema hii ipo katika aina ya tope zita
lenye rangi nyeusi likiandaliwa vizuri lingeweza kutoa spiriti nyingi sana
ambayo mngeweza kutengenezea vinywaji vikali ambavyo vinge tengenezwa kitaalamu
na vitawaburudisha wananchi, isitoshe pia mahospitarini spiriti hii ingefaa,
sasa ona wangepata pesa ningi watakapouza nje ya nchi hivi mnaonaje marafiki
sisi tulikaa kimya tukimkodokea macho akaemdelea kusema.
ü
Mbolea:-aliendelea
kusema unajua matakataka waliozalishwa na utengenezwaji wa sukari au ya miwa
hii ingeweza kusindikwa kwa muda furani hadi yakawa mbolea ambayo yangetumika
katika kukuzia mazao ya mashambani na katika bustani zetu za mboga au maua kitu
ambachu watu wangegombania na kuwaingizieni fedha nyingi mifukoni mwenu rafiki
aliendelea kuelezea.
ü
Gasi:-aliendelea
kusema yakuwa hii miwa na uchafu wake ukiuhifadhi kitaaram unaweza kupata gesi
nyingi ambayo mngeweza kuitumia katika matinizi yenu kama ya kupikia na hata
kuwashia taa katika vijiji vyenu,
ü
Vinywaji:-alisisitiza kwa kusema
yakuwa mimi napenda sana kunywa juisi hapa kunaaina nyingi za vinywaji, tangu
vya baridi hadi vya moto! Alicheka na kutuomba tumruhusu aendelee na safari
yake.
Tulishikwa
na butwa tusielewe la kulichangia katika mazungumzo hayo tuliwaaga marfiki zetu
hawa na kuendelea na safari yau kurudi kwao….kwakweli mashamba ya Kagera sugar,
kimwonekano ni hazina kubwa mkoani kwetu kagera na nikivutio kikubwa sana sana
kama hauamini ngojea nikitumie japo picha hizi nawewe uweze kuburudika kama
sisi wenzio tunavyo farijika na hazina hii tuliyo nayo huku kwetu Kagea……leo
nakuonyesha kwa kiasi tuu sikunyingine nitakuonjesha hata sukari yetu ya Kagera
sugar….
Wednesday, 17 April 2013
CHAKULA CHA KITANZANIA...UGALI KWA MCHICHA
CHAKULA CHA
KITAMZANIA
Napenda
kukitambulisha chakula hiki kitamu cha Kitanzania hapa pana ugali, listi nyama,
Dagaa wa kupwaza ….. mchicha ugali mweupe uliopikwa kwa kiasili wa Kitanzania
maandalizi yake ni vyepesi tuu tukianzia kwa uandaaji wa ugali:
UGALI:
Andaa unga mweupe wa kutosha andaa maji
ya moto mekoni (jikoni) baada ya maji kuchemka weka unga kwenye maji yanayo
chemka anza kusonga hadi unga na maji yachanganyike na unga ule ulio uweka
katika maji yale yalio chemka na kukuonyesha mchanganyiko ule umekamilika na
kukuonyesha yakuwa mchanganyiko ule umeiva kwahiyo huo utakuwa ugali umeiva.
MCHICHA:
Andaa mchicha vitunguu, nyanya, Mafuta au karanga tui la nazi tenga
mchicha huo jikoni kwa muda utaona maji yakitoka kwenye mchicha ule na mchicha
ule kuanza kubadilika na kuwa rangi ya kijani na kujitokeza maji chemsha kwa
muda mfupi…..toa mchicha wako jikoni weka sufuria nyingine jikoni weka mafuta,
karanga au tui la nazi. Kama ni kwa mafuta kaanga vitunguu weka chumvi kwa muda
mfupi weka mchicha changanya hadi urudhike mchanganyiko huu upo sawa hapo
itakuwa imeiva…….
DAGAA
WA MCHUZI: Tayarisha dagaa wako wakavu kwa kuwakosha na kuwaondoa
uchafu wakaange kwa muda mfupi na zisikauke sana weka nyanya vitunguu hakikisha
mchanganyiko huo unaiva vizuri hadi kuonyesha mchanganyiko huo umeiva hapo
ndipo utakapokuwa mwisho na mwanzo wa kuliwa….tenga vuzuri chakulahicho cha
kitanzania na anzakula ni chakula kitamu sana hasahasa ukishushia kwa maji ya baridi.
Subscribe to:
Posts (Atom)




