Wednesday, 17 April 2013

UDHIBITI WA UBOVU WA MIUNDO MBINU


Wakati sisi tuking'angania ubovu wa barabara ndani ya nchi yetu na miundombinu kuwa haifai ni vyema tukatoa mawazo ni kwajinsi gani tutakavyo weza kupambana na hali hii kwani sisi tunalalamika lakini wenzetu wanaumiza vichwa katika kulitatua tatizo hili hali ya hewa na mabadiliko ya kijiografia ni chanzo kikubwa katika ugumu wa udhibiti wa ubuvu wa miundombinu ya Barabara

Ukarabati wa barabara nijambo linalo umiza sana vichwa viongozi wetu wa awamu ya kwanza, ya pili hadi ya nne hii ni

 dariri njema katika kupambana na tatizo hili lililokuwa likikera wananchi kwa kipindi kirefu huu ni ushahidi tosha unao onyesa hatua za umakusudi zinazo chukuliwa kupambana na uhaba wa na ugumu wa miundombini ya barabara inavyo shughulikiwa hili ni eneo moja tuu ndani kabisa mwa nchi yetu lakini huduma hii inatatuliwa hivyo wakatu umefuka wa kushirikiana kulitatua tatizo hili.....

Viongozi wetu makini wakiwa wana umiza vichwa katika kulitatua tatizo au matatizo haya hivi sisi tuna wezaje kuwasaidia kusonga mbele kwenda kwenye maendeleo ni hili moja tuu kufanya kazi kwa bidii na kuhakikisa maendeleo ya haraka yanapatikana kiusahihi

Awamu zote zimejitahudi sana hivyo pale penye maendeleo nivema pakatupiwa RUPIA.......

Tuesday, 16 April 2013

UZURI WA KIJIJI CHA BUGANGO.....HEBU NIAMBIEEE


HADITHI
Napenda kuandika hadidhi hizi ndogondogo zinazo onyesha utamu wa uzuri wan chi yetu ya Tanzania na kuweza kwa kiasi furani kuwadadavulieni utajiri wa mali asili ulio jificha ndani ya nchi yetu hii ya Tanzania leo ninge penda kuwaonyesheni kijiji hiki cha Bugango kipo kilimeta kadhaa nje kidogo ya mji wa Bunazi njia ya kewenda Kagera sugar unaelekea kakunyu kwani tokea njiapanda ya bunazi kwenda Kakunyu ni sawa na kilometa 90 kabla ya kufika kakunyu kunanjia panda ya kwenda Bugango pana kijiji kijulikanacho kwa jina la Mgururu hivyo kutoka Mgeruru kwenda Bugango kunaumbali wa Kilometa 20-25 kufikia mpakani ndiyo utakutana na mpaka huu mpya wa Bugango hiki ki kijiji cha mpakani sifa kubwa ya hapa ni kilimo cha ndizi,
na Ulezi ufugaji wa mifugo mbali mbali kama vili Ng’ombe, Kuku, Kondoo, Bata, Sungura, nk



Napenda kuandika hadidhi hizi ndogondogo zinazo onyesha utamu wa uzuri wan chi yetu ya Tanzania na kuweza kwa kiasi furani kuwadadavulieni utajiri wa mali asili ulio jificha ndani ya nchi yetu hii ya Tanzania leo ninge penda kuwaonyesheni kijiji hiki cha Bugango kipo kilimeta kadhaa nje kidogo ya mji wa Bunazi njia ya kewenda Kagera sugar unaelekea kakunyu kwani tokea njiapanda ya bunazi kwenda Kakunyu ni sawa na kilometa 90 kabla ya kufika kakunyu kunanjia panda ya kwenda Bugango pana kijiji kijulikanacho kwa jina la Mgururu hivyo kutoka Mgeruru kwenda Bugango kunaumbali wa Kilometa 20-25 kufikia mpakani ndiyo utakutana na mpaka huu mpya wa Bugango hiki ki kijiji cha mpakani sifa kubwa ya hapa ni kilimo cha ndizi, na Ulezi ufugaji wa mifugo mbali mbali kama vili Ng’ombe, Kuku, Kondoo, Bata, Sungura, nk


Nyumba za wenyeji wa huku kabila la wanyankole asili yao ni Uganda wao asili yao ni wafugaji


Nyumba za wakilima wa kabila la wachiga wao asili yao ni Uganda

Swala la ufugaji limekuwa ni kazi ya kujivunia sana katika eneo letu la hapa Bugango ni ufugaji ng’mbe huku kuna Ng,ombe za kihima zenye pembe ndefu zilizo elekea juu hizi ni za kihima lakini Ng’ombe mwenye pembe zinazo elekea mbele ni za asili ya Kinyarwanda….huu ndio mtazamo wetu wa huki Bugango  lakini mimi nimesema hivi jee wewe umasemaje hebu tualifu ili tupata utamu wa mtazamo wa nchi yetu ya tanzania....mungu ibariki Tanzania munhi ibariki Afrika.....